Thursday, March 31, 2011
I'm So Glad to Discover MyLotion...
And I'm so happy to be able to please you.
http://mylotionbytk.blogspot.com/Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru wadada woooote wa kitanzania, waganda na wakenya waliokwepo pande zote duniani Tanzania, India, Malaysia, Canada, Norway, Sweden, UK, na hapa Marekani. Kwa kuonyesha mchango wenu mkubwa katika kununua MyLotion. Leo hii ninayo Furaha kubwa na ningependa kusema ahsante sana na ninafurahi sana kuona karibia wote mlionunua MyLotion ambao niliofanikiwa kuwasiliana nanyi, mmetokea kuipenda kiasi cha kuwa wateja wakuu. Binafsi, natumia MyLotion na kama unavyoona inanitenda vyema! Furaha yenu, ni furaha yangu. Nami nasema mungu awabariki sana. Kama wewe ni mgeni, pia ungependa kujaribu MyLotion tembelea http://mylotionbytk.blogspot.com/ kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kupata.
Nawapenda wote.
XOXO Teddy Haight
http://mylotionbytk.blogspot.com/Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru wadada woooote wa kitanzania, waganda na wakenya waliokwepo pande zote duniani Tanzania, India, Malaysia, Canada, Norway, Sweden, UK, na hapa Marekani. Kwa kuonyesha mchango wenu mkubwa katika kununua MyLotion. Leo hii ninayo Furaha kubwa na ningependa kusema ahsante sana na ninafurahi sana kuona karibia wote mlionunua MyLotion ambao niliofanikiwa kuwasiliana nanyi, mmetokea kuipenda kiasi cha kuwa wateja wakuu. Binafsi, natumia MyLotion na kama unavyoona inanitenda vyema! Furaha yenu, ni furaha yangu. Nami nasema mungu awabariki sana. Kama wewe ni mgeni, pia ungependa kujaribu MyLotion tembelea http://mylotionbytk.blogspot.com/ kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kupata.
Nawapenda wote.
XOXO Teddy Haight
Vijana Wa Kitanzania Msipojijengea Kawaida ya Kuthamini Dada Zenu, Wote Wataishia Kuolewa na Wazungu.
Nasikitika kuona kaka zetu wakilalamika dada zao kuolewa na wazungu, wakati wao ndio wanasababisha.
Kwa ufahamu wangu kuanzia miaka10-11 iliyopita kiwango cha wadada wa kitanzania kuolewa na wazungu kimekuwa kikiongezeka kwa kasi kubwa huku kaka zetu wakibaki kusikitika bila kujua tatizo nini. Utasikia, "wewe na uzuri wote huo, umekosa nini kwenda kuolewa na mzungu."lol! Swali langu, ulikuwa wapi wakati niko single?...Unajua, kwa muda mrefu watu wengi wamekuwa wakihisi kuwa mwanamke yeyote anayeolewa na mzungu ana sifa ya umalaya, bila kuangalia upande mwengine wa shillingi kuwa si lazima iwe hivyo kama wengi wanavyofikiria. Hizi fikira hazina utofauti wa msemo wa kabila fulani wanakawaida ya kuwauwa wanaume zao kwa sababu ya mali, au kabila fulani wanakula mbwa! Samaki mmoja akioza basi sio wote hawafahi. Kadri siku sinavyozidi kwenda tumeweza kuona wadada wanaojiheshimu na wenye elimu bora wasio na sifa ya umalaya nao pia wanaoolewa na wazungu.
Kuna sababu nyingi sana za wanasichana wengi kuamua kuolewa na mtu mweupe. Kuna wanaona kuwa pale kuna uhakika wa maisha mazuri au kuna matumaini ya kuondokewa na maisha magumu, wengine wanaona wanajua kujali na wanauvumilivu, wengine lengo la kupata watoto chotala, kama sie kwetu usukumani binti mweupe anathamani ya kuchumbiwa kwa ng'ombe 40. Hivyo basi kila mtu na sababu zake.
Tukirudi kwenye upande wa sababu nyingine kuu ambayo pia kuna uwezekano mkubwa wa wadada wa kitanzania kukimbilia kuolewa na wazungu. Mara nyingi umekuwa ukisikia wavulana (wanaume) wakiwapondea mabinti wakitanzania kwa kuwaita majina mabaya kama vicheche, au hata kuwakosoa kwa kudai kuwa wanatabia mbaya. Ambavyo si lazima iwe kweli, wao usema hivyo kutokana na kujiridhisha nafsi zao, bila kujua dharau hizo zinajenga ukuta mkubwa wa kutenganisha uwezekano wa kukosa mke bora wa kitanzania. Na endapo utokea kuwaowa, bado uwadharau wake zao na kutegemea wao ndio waheshimiwe, bila kujua heshima utokana na heshima.
Unapomweshimu mtu nae hana budi kukuheshimu pia. Binafsi nina mfano hai kabisaaa,-yupo kaka mmoja ambaye anajulikana (superstar wa bongo). Huyu kaka ni mtu anayejiheshimu lakini anakawaida ya kusema "wasichana wa kibongo wote vicheche". Na alishawi kudiliki kuvunja uwezekano wa kuolewa kwa binti mmoja wa kitanzania. Kwasababu aliyekuwa muoaji ni best yake. Na huwa ana kawaida ya kusema hivyo hata kwa marafiki zake wa kike pia na wasichana anayetoka nao ambao wanajiheshimu, lakini kwake ni vicheche. Na na hakika wako vijana wengi wa namna hii, sasa hali hii sijui kama tutafika kama kaka zetu msipojirekebisha. -Oweni au acheni kulalamika!
All I wanna say is that, tujifunze kukubali vya kwetu. Vya kwetu ni vitamu na vizuri kuliko, hakuna sababu ya kuviponda kisa...kufurahisha nafsi zetu.
Kwa ufahamu wangu kuanzia miaka10-11 iliyopita kiwango cha wadada wa kitanzania kuolewa na wazungu kimekuwa kikiongezeka kwa kasi kubwa huku kaka zetu wakibaki kusikitika bila kujua tatizo nini. Utasikia, "wewe na uzuri wote huo, umekosa nini kwenda kuolewa na mzungu."lol! Swali langu, ulikuwa wapi wakati niko single?...Unajua, kwa muda mrefu watu wengi wamekuwa wakihisi kuwa mwanamke yeyote anayeolewa na mzungu ana sifa ya umalaya, bila kuangalia upande mwengine wa shillingi kuwa si lazima iwe hivyo kama wengi wanavyofikiria. Hizi fikira hazina utofauti wa msemo wa kabila fulani wanakawaida ya kuwauwa wanaume zao kwa sababu ya mali, au kabila fulani wanakula mbwa! Samaki mmoja akioza basi sio wote hawafahi. Kadri siku sinavyozidi kwenda tumeweza kuona wadada wanaojiheshimu na wenye elimu bora wasio na sifa ya umalaya nao pia wanaoolewa na wazungu.
Kuna sababu nyingi sana za wanasichana wengi kuamua kuolewa na mtu mweupe. Kuna wanaona kuwa pale kuna uhakika wa maisha mazuri au kuna matumaini ya kuondokewa na maisha magumu, wengine wanaona wanajua kujali na wanauvumilivu, wengine lengo la kupata watoto chotala, kama sie kwetu usukumani binti mweupe anathamani ya kuchumbiwa kwa ng'ombe 40. Hivyo basi kila mtu na sababu zake.
Tukirudi kwenye upande wa sababu nyingine kuu ambayo pia kuna uwezekano mkubwa wa wadada wa kitanzania kukimbilia kuolewa na wazungu. Mara nyingi umekuwa ukisikia wavulana (wanaume) wakiwapondea mabinti wakitanzania kwa kuwaita majina mabaya kama vicheche, au hata kuwakosoa kwa kudai kuwa wanatabia mbaya. Ambavyo si lazima iwe kweli, wao usema hivyo kutokana na kujiridhisha nafsi zao, bila kujua dharau hizo zinajenga ukuta mkubwa wa kutenganisha uwezekano wa kukosa mke bora wa kitanzania. Na endapo utokea kuwaowa, bado uwadharau wake zao na kutegemea wao ndio waheshimiwe, bila kujua heshima utokana na heshima.
Unapomweshimu mtu nae hana budi kukuheshimu pia. Binafsi nina mfano hai kabisaaa,-yupo kaka mmoja ambaye anajulikana (superstar wa bongo). Huyu kaka ni mtu anayejiheshimu lakini anakawaida ya kusema "wasichana wa kibongo wote vicheche". Na alishawi kudiliki kuvunja uwezekano wa kuolewa kwa binti mmoja wa kitanzania. Kwasababu aliyekuwa muoaji ni best yake. Na huwa ana kawaida ya kusema hivyo hata kwa marafiki zake wa kike pia na wasichana anayetoka nao ambao wanajiheshimu, lakini kwake ni vicheche. Na na hakika wako vijana wengi wa namna hii, sasa hali hii sijui kama tutafika kama kaka zetu msipojirekebisha. -Oweni au acheni kulalamika!
All I wanna say is that, tujifunze kukubali vya kwetu. Vya kwetu ni vitamu na vizuri kuliko, hakuna sababu ya kuviponda kisa...kufurahisha nafsi zetu.
Wednesday, March 30, 2011
Funny Twin Babies Having Conversation...
Awwwww,... aren't they so cute!?!.... inaonekana wanaelewana sana, sijui wanazungumza nini.lol!
Actually this video was put on YouTube today (march 30th), and seemed to catch many people's attention including ABC News. abcnewssecretspeech
Miriam Odemba Got Her Model Body Back After A Baby ! ! !
Just months ago since model Miriam Odemba delivered a healthy baby girl, now she's already looking fabulous on H&M butterfly top. Ready to model again?...
Monday, March 28, 2011
Happy Birthday Violet Mushi Dye!!!
Today my gal Violet Mushi Dye au waweza muita Mrs. Dye, asheherekea siku yake ya kuzaliwa. Picha ya pili kutoka chini akiwa na hubby wake James Dye!
Happy Happy Birthday to you Mrs. Dye! XOXO
Wednesday, March 23, 2011
Monday, March 21, 2011
Uzinduzi Rasmi wa FLAVIANNA MATATA FOUNDATION MAY 21st.
Flavvy: May 21st is always a special and very difficult day for me, my family and the families of thousands who lost their loved ones on that fateful day in 1996, when MV Bukoba sank in Lake Victoria. On that day I lost my mother, but never lost hope. I knew a day would come and will be able to cherish her memory and do something special to honor her life and the life she game me.
I am happy to announce that on May 21st, 2011 I will officially launch the FLAVIANA MATATA FOUNDATION in the honor of my beloved mother. As a former Miss Universe Tanzania, and currently, a model based in New York and Europe, I would like to use my fame to help the most vulnerable in our society… young women and kids.
FLAVIANA MATATA FOUNDATION, a Tanzanian registered nonprofit organization, will give leaders in health, business, government and communities globally the opportunity to be a part of a movement that relies on participation, collaboration and action to reverse child pregnancy rates, and empowering of young women and kids and the like. I consider this to be my greatest achievement, and gives me joy to see that my mother’s memory has a chance to live forever. I hope this initiative will bring happiness and joy to many that will be touched directly and indirectly by FLAVIANA MATATA FOUNDATION. Please reserve this date (May 21st, 2011) to come and join me in the launch of this very important initiative. Venue, time, and special guests will be announced at a later stage.THANK YOU
Regards
Flaviana Matata(Lavvy)
FLAVIANA MATATA FOUNDATION, a Tanzanian registered nonprofit organization, will give leaders in health, business, government and communities globally the opportunity to be a part of a movement that relies on participation, collaboration and action to reverse child pregnancy rates, and empowering of young women and kids and the like. I consider this to be my greatest achievement, and gives me joy to see that my mother’s memory has a chance to live forever. I hope this initiative will bring happiness and joy to many that will be touched directly and indirectly by FLAVIANA MATATA FOUNDATION. Please reserve this date (May 21st, 2011) to come and join me in the launch of this very important initiative. Venue, time, and special guests will be announced at a later stage.THANK YOU
Regards
Flaviana Matata(Lavvy)
Sunday, March 20, 2011
Rais KIKWETE: Viongozi wa Dini Msichoke Kumkemea Mtu yoyote anayetaka Kuwagawa Watanzania kwa rangi, Kabila, Dini, jinsia na Maeneo Watokayo!
“Napenda kutumia nafasi hii pia kuwaomba viongozi wa dini muendelee kufanya kazi ya kulilea taifa letu kiroho na kimaadili. Natambua ugumu wa kazi hiyo katika dunia ya leo ya utandawazi ambako maadili mema ya jamii pamoja na mila na desturi zetu havionekani kupewa thamani kubwa. Siku hizi mtoto mdogo kumtukana mtu mzima au watu wazima kutoleana lugha chafu, na kutositiri maungo, havionekana kuwa mambo yasiyofaa.”
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewataka viongozi wa dini kuongeza kasi yao katika kulilea taifa kiroho na maadili katika dunia ya jana ambako maadili mema ya jamii pamoja na mila na desturi havionekani kupewa thamani kubwa.
Aidha, Rais Kikwete amewataka viongozi wa kiroho kuendelea kuwahimiza Watanzania pamoja na viongozi wa siasa kuvumiliana kwa tofauti za rangi, kabila, dini na siasa na pia kuendelea kuombea amani na utulivu wa Tanzania na upendo miongoni mwa Watanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewataka viongozi wa dini kuongeza kasi yao katika kulilea taifa kiroho na maadili katika dunia ya jana ambako maadili mema ya jamii pamoja na mila na desturi havionekani kupewa thamani kubwa.
Aidha, Rais Kikwete amewataka viongozi wa kiroho kuendelea kuwahimiza Watanzania pamoja na viongozi wa siasa kuvumiliana kwa tofauti za rangi, kabila, dini na siasa na pia kuendelea kuombea amani na utulivu wa Tanzania na upendo miongoni mwa Watanzania.
Vile vile, Rais Kikwete amethibitisha, kwa mara nyingine, azma ya Serikali yake kuendelea kushirikiana na taasisi za dini katika kuboresha huduma za kijamii nchini za elimu na afya kwa sababu katika hilo shabaha ya dini na Serikali haitofautiani.
Kwa habari nzima bofya hapa=>HAKINGOWI
Source: Hakingowi
Los Angeles Marathon This Morning...
We couldn't get the best pictures, but below is an Ethiopian runner Markos Geneti(26), who was the winner of the this morning LA marathon 2011. He will be rewarded $25,000, a $100,000 for the gender bonus and a 2011 Honda Insight EX Sedan.
People run 26 miles, from downtown Los Angeles to Santa Monica.
People run 26 miles, from downtown Los Angeles to Santa Monica.
Saturday, March 19, 2011
SUPER SCARY MOON OVER WASHINGTON
A Super Perigee Moon rises over the Lincoln Memorial monument in DC this Saturday night, a full moon at its closest to Earth since 1993. It happens every 20years. Kinda scary looking considering recent events... (Image Credit: NASA/Bill Ingalls)
Friday, March 18, 2011
Tyra Banks, breaking it down about fashion styles Zinazo Ingia Na Kutoka!
Welcome to a Revolution -- powered by TYPEF.COM
Hahahaa...LOL "this is the look of the season, and this is how you must look. Exactly like this... And if you don't look like this, YOU ARE A LOSER"!Lmao!...
True that Tyra, nobody looks like you but YOU!
New Reality Show: "GROWING UP AFRICAN" Signs Long Term Deal with EATV.
Late last year, people have been buzzing and talking about this new reality show that just transcends several barriers. "Growing Up African" was an idea based upon a Tanzanian family. In this family are five siblings and a mother but their struggles, personalities and attitudes can reflect the lives of any African household.
The family started out with their concept through internet based feedback primarily blogs & you tube in October 2010. Through the support of blogs like yours they were able to garner enough support to breakthrough as a viable reality show. At the beginning of 2011
"Growing Up African" is unlike any other reality show presented because now the people of East Africa can relate to who they see.
It took hard work and convincing for EATV execs to foster the show onto their weekly program but everyone is excited. Currently on air there are promos running for the next couple of weeks through radio and television.
"Growing Up African" is unlike any other reality show presented because now the people of East Africa can relate to who they see.
It took hard work and convincing for EATV execs to foster the show onto their weekly program but everyone is excited. Currently on air there are promos running for the next couple of weeks through radio and television.
The show will premier on Friday, March 25th, 2011 at 9:30pm in East Africa on EATV Channel 5. Again hanging out on East Africa Television (EATV) Fridays @ 9:30pm, Saturdays @ 8:30pm, Sundays @ 12:30pm & Tuesdays @ 8:30pm
To Learn more about the show go to => WWW.GROWINGUPAFRICAN.COM
To Learn more about the show go to => WWW.GROWINGUPAFRICAN.COM
Nate Dogg Dead At Age 41... R.I.P
His family believes the singer's death was caused by complications stemming from the two strokes he suffered over the past couple of years ... this according to the singer's close friend and manager Rod McGrew.
Monday, March 14, 2011
Flavianna Wins AMFW Model Of The Year!!!
Congratulations to Tanzanian model Flaviana Matata for winning Model of the Year award by Arise Magazine Lagos Fashion Week.
It's been a good year for Flaviana who has been featured in numerous editorials including Dazed & Confused, Glass Magazine, L'officiel and soon to be in ID Magazine. She has also walked the runways of some of fashions most influential designers, including Vivianne Westwood, Tory Burch, Suno, and Louise Gray and was featured in the Alexander McQueen film tribute and Topshop Spring 2011 ad campaign. Sky is the limit for this babe. Hongera sana mamii!!!
Source:FJ
It's been a good year for Flaviana who has been featured in numerous editorials including Dazed & Confused, Glass Magazine, L'officiel and soon to be in ID Magazine. She has also walked the runways of some of fashions most influential designers, including Vivianne Westwood, Tory Burch, Suno, and Louise Gray and was featured in the Alexander McQueen film tribute and Topshop Spring 2011 ad campaign. Sky is the limit for this babe. Hongera sana mamii!!!
Source:FJ
Msikilize Model Harieth Paul Akijitambulisha Kwenye CK One 2011 Video, "She's so Cute"...!
Oh wow!!! And she is only 16. Proudly Tanzanian. This is her CK One 2011 video akiwa na mamodel wakimataifa wengine...
Friday, March 11, 2011
Michelle Obama Wears $39 H&M Dress for the Today Show...
Mama Obama proved just how down to earth she is when she appeared on the Today Show wearing a gorgeous $39.99 dress from... H&M. Yep!, her super-cute spring-fresh maroon chiffon dress was a bargainacious buy from our favourite high street haunt. And we love how she added extra zing with daffodil-yellow courts and a popping red belt. America's First Lady has proved before that she's got a good eye for a fashion bargain, donning pieces from cut-price US store Target, and T-shirts from Gap.
....But we particularly love this look!
....But we particularly love this look!
BREAKING NEWZ: Tsunami Yaivamia JAPAN Leo, Ma'100 Wapoteza Maisha, California Twapewa Warning...
They say this is the 8.9-magnitude earthquake off northeast coast is fifth largest on record worldwide:
Today’s Japan earthquake has resulted in a California tsunami warning and advisory, from Northern California to Southern California beaches. The California tsunami alert differs across the state within the hour, but the preparedness of local response officials remains much the same.
“Current intelligence indicates a 3-foot surge may impact the coastline of Los Angeles County,” Los Angeles County fire Capt. Sam Padilla said in a news statement issued today.
Padilla is telling residents to be prepared for the upcoming hours. “The impact of this event has the potential of lasting 10-12 hours, beginning at 8 a.m.”...
mmh 10-12 hours?... mtuombee jamani!
Today’s Japan earthquake has resulted in a California tsunami warning and advisory, from Northern California to Southern California beaches. The California tsunami alert differs across the state within the hour, but the preparedness of local response officials remains much the same.
“Current intelligence indicates a 3-foot surge may impact the coastline of Los Angeles County,” Los Angeles County fire Capt. Sam Padilla said in a news statement issued today.
Padilla is telling residents to be prepared for the upcoming hours. “The impact of this event has the potential of lasting 10-12 hours, beginning at 8 a.m.”...
mmh 10-12 hours?... mtuombee jamani!
Uzinduzi wa "NYUMBANI LOUNGE" Ya Lady Jay Dee Na GADNA G. Habash Yafana Usiku wa Kuamkia Leo!
Kiota kipya cha maraha "Nyumbani Lounge" kinachoendeshwa na Gadna G Habash na Mke wake mpendwa Lady Jay Dee chazinduliwa rasmi usiku wa kuamkia leo huko Namanga, Dar-es-salaam.
Nyumbani Lounge ambayo pia inayotoa huduma ya chakula kitamu, iko nyuma ya Best Bite Restaurant, mita kama 100 hivi kutoka barabara kuu ana jengo la pili kushoto baada ya virago. Wote mnakaribishwa!!
.......................................................
Congratulations Lady Jay Dee with your hubby Gadna G Habash!!! Mnajitahidi kwa kweli!
Picha: michuzi
Nyumbani Lounge ambayo pia inayotoa huduma ya chakula kitamu, iko nyuma ya Best Bite Restaurant, mita kama 100 hivi kutoka barabara kuu ana jengo la pili kushoto baada ya virago. Wote mnakaribishwa!!
.......................................................
Congratulations Lady Jay Dee with your hubby Gadna G Habash!!! Mnajitahidi kwa kweli!
Picha: michuzi
Thursday, March 10, 2011
Mark wa FACEBOOK A'muadopt Zuckerberg, "LUCKIEST DOG EVER"...
Mark wa Facebook and his girlfriend Priscilla Chan had been in the market for a Puli for a while and finally found one in Oregon. They even created a Facebook page for him.The couple named the puppy Beast. We were hoping he would have gone with Bark Zuckerberg lol!
Zuckerberg happened to be the luckiest dog ever!!!
Zuckerberg happened to be the luckiest dog ever!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)















































