Mi' moja ya plans zangu ndogo,.ni kujijengea mazoea ya kusoma vitabu(novel). 2. Be on time 3. finishing what I've started etc What about you?
5
maoni / comments:
Anonymous
said...
happy new year tk.. plan zangu ni 1. kujitahidi kurudi na kuishi nyumbani kwangu baada ya kushindwa kuingia humo kwa miaka miwili na miezi mitatu na siku 19 sasa tokea mume wangu ameuwawa na majambazi humo. 2. kuanza masomo yangu ya shahada ya uzamivu. i pray hard to summon the courage i need to accomplish these 2 huge goals. amen
Pole anony..Mwenyezi Mungu akupe nguvu na kukupunguzia mawazo(ingawa nivigumu). Mungu yupo na wewe sikuzote na amini kuwa kila litokealo linasababu. Uwe na Imani na hatakuacha kamwe. Mwenyezi Mungu amlaze pema peponi mpenzi mumeo.. na hao waliotenda unyama huo watakuhukumiwa...
5 maoni / comments:
happy new year tk.. plan zangu ni
1. kujitahidi kurudi na kuishi nyumbani kwangu baada ya kushindwa kuingia humo kwa miaka miwili na miezi mitatu na siku 19 sasa tokea mume wangu ameuwawa na majambazi humo.
2. kuanza masomo yangu ya shahada ya uzamivu.
i pray hard to summon the courage i need to accomplish these 2 huge goals. amen
Awwwww,...I am very sorry to hear that! Mungu akutie nguvu!
Pole anony..Mwenyezi Mungu akupe nguvu na kukupunguzia mawazo(ingawa nivigumu). Mungu yupo na wewe sikuzote na amini kuwa kila litokealo linasababu. Uwe na Imani na hatakuacha kamwe. Mwenyezi Mungu amlaze pema peponi mpenzi mumeo.. na hao waliotenda unyama huo watakuhukumiwa...
Amen
Pole sana, Mungu ni mwema siku zote azidi kukupa faraja na amani ndani ya moyo wako. Uwe strong na usamehe yote. Mungu akubariki
Post a Comment