Sisi binadamu ni wepesi sana kunyoosha vidole wakati vingine vinatuelekea sisi. Ni kweli kabisa tujiangalie kwenye kioo na kujirekebisha bila hivyo tutaendelea kuwa vipofu na kujifanya hatuoni.Katika matatizo yoyote yanayo kuhusu na wewe unasehemu yako uliyo husika ama kuchangia kwa tatizo hilo. R.I.P Michael i hope tutajirekebisha na kubadilika.
2 maoni / comments:
TK, many thanks for sharing this with us.This guy was really a legend!
Sisi binadamu ni wepesi sana kunyoosha vidole wakati vingine vinatuelekea sisi. Ni kweli kabisa tujiangalie kwenye kioo na kujirekebisha bila hivyo tutaendelea kuwa vipofu na kujifanya hatuoni.Katika matatizo yoyote yanayo kuhusu na wewe unasehemu yako uliyo husika ama kuchangia kwa tatizo hilo. R.I.P Michael i hope tutajirekebisha na kubadilika.
Post a Comment