Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Thursday, March 31, 2011

I'm So Glad to Discover MyLotion...

And I'm so happy to be able to please you.
http://mylotionbytk.blogspot.com/
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru wadada woooote wa kitanzania, waganda na wakenya waliokwepo pande zote duniani Tanzania, India, Malaysia, Canada, Norway, Sweden, UK, na hapa Marekani. Kwa kuonyesha mchango wenu mkubwa katika kununua MyLotion. Leo hii ninayo Furaha kubwa na ningependa kusema ahsante sana na ninafurahi sana kuona karibia wote mlionunua MyLotion ambao niliofanikiwa kuwasiliana nanyi, mmetokea kuipenda kiasi cha kuwa wateja wakuu. Binafsi, natumia MyLotion na kama unavyoona inanitenda vyema! Furaha yenu, ni furaha yangu. Nami nasema mungu awabariki sana. Kama wewe ni mgeni, pia ungependa kujaribu MyLotion tembelea http://mylotionbytk.blogspot.com/ kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kupata. 

Nawapenda wote.
XOXO Teddy Haight

14 maoni / comments:

Anonymous said...

We love you too TK you are awesome! Ima keep buying it forever.Thank you so much :)

Anonymous said...

Nubgu bawe akubariki TiTi kwa kutuletea lotion nzuri inayofanya ngozi zetu zionekane vizuri na kuwa kama za watoto wa changa...Mungu abariki kazi za mikono yako

Anonymous said...

hii picha mzuri umependezaa , ile iliyopita tulidhania una mimba ulikua unaonekana shavuuuuuu

Teddy Kalonga aka "TK" said...

:)) Ahsanteni pia! You guys are the best! mwaah!

-TK

Anonymous said...

tk tuliwasiliana ukaniambia utanipa namba ya mtu unaemtumia mzigo uku,ili

Anonymous said...

thanks tk kwa lotion bwana ninzuri kupita maelezo.ubarikiwe

Anonymous said...

viva my lotion

Anonymous said...

mimi mdau wako wa UK.ntakuunga mkono til the day i die.hii lotion sitaweza kuiacha.

Anonymous said...

Tk kwenye hizi pic unaonekana mwembamba, ni latest pics ama za zamani? And another thing, I love u to bits but ammm... What do u do for a livin? Modelin? Studin? House wife? Or? O and, mylotion inafanya mtu uwe mweupe ama? Coz I am dark nasitaki kua mweupe kabisa, I use cocoa butter, so could I still use it? And I am size 8uk, lakini I sometimes wear a 10, nimenenepa as I was in bongo like a week ago, I want to loose this weight as soon as possible, nifanye nini or wat should I like eat or somthing? No mazoezi as I hate kufanya mazoezi. Plz reply me back? Much love shanti

Fashion Tribe Clothing said...

Congrats this sounds like a great product,keep it up.

Anonymous said...

Mylotion numéro un!

Yaani baada ya kujifungua ngozi yangu ilikuwa haieleweki. Mylotion imerudisha colour ya ngozi yangu.
Thanks honey kwa kuwa mbunifu wa Mylotion.
me likey..

Mama Marcus

Anonymous said...

wawoooo maybe soon i will be one of ur customer love ya girl,,,,,,flora

st said...

TK naku admire sana nakumbuka wakati nilipokuona kwa mara ya kwanza Bench mark it was 2001 kama sikosei wakati Bench mark wanatafuta models nakumba tulikuwa na kina Ben kinyaiya na wengine wengi Irene na Miriman Odemba n.k yaani nimefurahi kuona umefika mbali

Mungu akubariki uzidi kufanikiwa...am happy 4 u

St

Anonymous said...

Hey TK, aisee me napenda sana blog yako lkn kuna kipindi nikawa sikupati kbs! baada ya kurekebisha mambo sasa pouwa.
Mechelewa kuona mambo ya MyLotion ila kiukweli nakufagilia sana tangu enzi za Jackpot Bingo! Naomba unijuzi km una mtu anaziuza hapa Dar ili nami nijipatie yangu, hope cjachelewa sana mwenzako! Plz

Mungu akubariki sana Love, twasubiri Perfume sasa, unaweza tuletea ya kipekee pia. Kila la heri.

Mdau wa Urembo

Total Knockout Search!!

Custom Search