Pichani Mr. President muheshimiwa JK, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukagua eneo la tukio katika kambi ya jeshi mapema leo.
-Total knockout blog yaomba radhi kushindwa kuonyesha picha za waathirika wa mabomu. A friend of mine Josie from New York, she just called me and said her cousin died from these maboom. It's just too sad. Pole sana mliopoteza ndugu na jamaa. Pia mungu awapumzishe waliopoteza uhai. Amen
0 maoni / comments:
Post a Comment