Hey
Amani tabloid/ mshabiki Rehema,
Mimi nafikiri huo ni msemo tu wa "
chupi nyeusi" kuwa wanaovaa chupi nyeusi si wasafi. Lakini si kweli, wengine ni kipendeleo chao, kwani wapo watu wanaovaa chupi za rangi au nyeupe ambao si wasafi. Chupi nyeusi inaweza kuwa classy & can be sexy... pia hufanya mtu kuonekana na makalio madogo(mwembamba). U know?...
Ukizungumzia usafi, your gal
TK ni msafi kupindukia:), napenda kujisafisha kulikooo... unajua ile style ya kuingiza kidole na kuzungusha?!...Yah! "
Rehema naimani utakuwa unajua nazungumzia nini!"...
Mbali na hapo hutokea mara kwa mara kwenye kazi hizi za umodel, wapiga picha upendelea rangi hiyo. Na hiyo yangu ilikuwa nguo ya kuogelea, moja ya picha niliyopiga kwenye shughuri zangu za umodel hapa Marekani.
ps:
... this is just for my girls out there! "You can't judge a book by it's cover".
xo
TK