Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Wednesday, March 24, 2010

American Nurse 2 Movie Premiere featuring Cynthia Masasi...

Cynthia Masasi super model mashuhuri aliyeamua kujikita kwenye maswala ya kuigiza. Mpaka sasa binti huyo mrembo wa kitanzania mwenye aishie Marekani, ameshamegewa vipengere kadha kutoka filamu mbali mbali ambapo American Nurse 2 ikiwa ni moja ya movie alizo cheza. Pichani Cynthia Masasi akiwa na waigizaji wengine washiriki kwenye fungua dimba ya filamu hiyo.





Tuesday, March 23, 2010

Like father like Son... Diggy Simmons Signs with Atlantic Records


Daniel a.k.a “Diggy” Simmons (15) mtoto wa Rev. Run wa (Run DMC), afuata nyayo za baba'ake. Siku moja baada ya birthday yake atangazwa rasmi kuingia mkataba na Atlantic Records. Akiambatana na dada'ake Angela na mdogo wake Russy bega kwa bega kushuhudia usahihisho wa ndunguye.
Diggy Simmons- "Made You Look"

Yay!!!... so finally Absolute Vodka Released Jay Z's NY-Z Documentary

Omg, I couldn't have waited much longer than this, it seems like it took forever. Ha ha ha I'm sure if you are a Jay Z's fan you should know what I mean. We L.O.V.E Jay Z!!!
So just now an Absolute Vodka has released their exclusive 15 minute documentary on Jay-Z. It’s the NY-Z small film showing how Mr. Carter started out and a rare look at his life and muse–NYC.
Angalia:


Sunday, March 21, 2010

Kukiwemo Mastar wakubwa, Mkenya Ashinda Marathon Los Angeles Leo...

Leo asubuhi na mapema Los Angeles ilikuwa na mshike mshike wa (Marathon) mashindano ya mbio maalumu kwa ajili ya kuchangia mifuko kadhaa ya huduma ya kijamii. Ikiwa na washiriki mashuhuri kama mwigizaji mkubwa Shia LaBeouf (23), ambaye yeye alikimbia juu ya "veterans kuunga mkono U.S. VETS" kwa kuwa baba'ake alipigana vita vya Vietnam. Huku mkenya aliyetuwakilisha vyema "waafrika mashariki" Wesley Korir, alikimbia kwa ajili ya "Kujali Afya ya maji" na kuibuka mshindi katika mbio hizo ndefu zilizo anzia Down Town LA mpaka Santa Monica. Watu 30 walianguka na kushindwa kumaliza na 31 ilipelekea kukimbizwa hospitali ya Santa Monica na UCLA zilizoko karibu.

Rihanna Rocks On Sunday Magazine's Cover Shoot But...


Ri' rocks the cover of the new issue of the Australian magazine Sunday. Though showed up to the shoot 4 hours late, the pictures came out hot enough to impress the Cover writer.

Malalamiko kutoka kwa mwandishi wa jarida hilo :-WHAT’S the longest period of time you’ve waited for someone? Twenty minutes? An hour?
I start to get cranky around the five-minute mark, so imagine how grumpy I am after waiting four hours on a Sunday afternoon for the subject of today’s photoshoot to arrive. You know how a watched pot never boils? Well, let me assure you, a watched doorway never brings a Rihanna.
For much of the afternoon, I’ve been steadily receiving text messages letting me know that the singer won’t be long (“definitely within the hour”) until, finally, when the crew are weak with starvation, we’re startled into action by a flurry of voices. Striding at the front of the 10-strong pack is the surprisingly tall star, immaculately groomed in a simple white shift dress and giant sunnies (even though it’s 7pm). She takes the time to greet each of us with, “Hi, I’m Rihanna.”

....lol!

Saturday, March 20, 2010

Beauty Tips: Pata Ngozi Changa Asilia Kwa Kipindi kifupi...

Beauty Tips: Jinsi ya kuupa uso wako muonekano wa ngozi tight, laini na ya kuvutia.
Siku ya leo Total Knockout beauty tips, tuna njia tatu nyepesi ambazo matokeo yake uonekana baada tu ya kutumia. Ok, basi kama uko nyumbani ni vyema ukasogea jikoni kabisa ili kujiandaa kuupa uso wako ngozi changa na yenye afya kwa kipindi kifupi.

Mask ya asali: Hii mask ni nzuri sana kwasababu inamoisturizering ngozi yako na ubana vishimo vya ngozi vilivyo wazi. Pia ni nzuri kwa ngozi aina zote. (za mafuta, kavu, na zilizo za wastani).

Ingredients: Asali kiasi chochote cha kukutosheleza.

Jinsi ya kutumia: Paka asali kwenye sura yako hadi shingoni kama ukitaka kulinganisha uwastani wa ngozi, lakini kuwa mwangalifu isiingie machoni kwa hiyo ni vyema ukakwepa sehemu za macho. Iache kwa dakika 15 – 30,(relax), kisha osha kwa maji ya vugu vugu. Halafu malizia kuosha na maji ya baridi ili kuziba vishimo vya ngozi zilizokuwa moisturized na asali.

-Hii ni kwa mtu yeyote, iwe mwanamke au mwanaume wote waweza kutumia hii moisturized asilia kujipa muonekano wa'kichanga(kiupya).

xoxo TK

Friday, March 19, 2010

Stanley Kibale a.k.a Stanboi pia waweza kumuita "The African Child", kijana mdogo wa kitanzania mwenye malengo ya kuutangaza muziki wetu ughaibuni....

Stanboi(23) msanii wa Bongo flava kutoka kwenye kundi la East Coast mwenye makazi yake hapa Marekani, aanza kuonyesha ishara ya kutimiza ndoto zake za kufanya kazi na wasanii wa wakubwa na kuipeperusha bendera ya Tanzania kimuziki.
Pichani hivi juu akiwa na rapper Chammillionaire, chini katika pozi la pamoja na mwanamuziki mkubwa wa R&B Mario soma zaidi>>...

Source:Facebook & Blazing zone

Kutana na "Wakazi" msanii mkali wa (Hip-Hop)Bongo flava aliyeoko Marekani kwa sasa...

Wakazi a.k.a Swagga Bovu born Webiro Noel Wassira in December 27, 1982. He became a fan of Hip Hop music at a very young age influenced by his older brothers who used to play records in his presence as he recalls. He started to imitate and recite the raps of some of the artists and eventually it became a habit.Although artist like Big Daddy Kane, Tupac Shakur, LL Cool J, Heavy D were the first ones he heard and grew to like, his real challenge as a rapper came when he heard all of his friends rapping to Saleh Jabbir ‘s recital of “ice ice baby” originally sung by vanilla ice. Things got worse when he went home and his younger brother who shouldn’t know anything about rap, was actually rapping the whole song by 2 Proud (Mr. II a.k.a Sugu) called “siku hii ni siku ya”. He was forced to know both songs as soon as possible if he had to stay cool among his peers. In order to remain cool in his school days, he would listen to tapes (before the CD era) and write the lyrics down and cram them. Fast forward to his high school days, the love of... Read more>>...

Kwa kusikiliza au kuona kazi ya msanii Wakazi bonyeza links hapa chini: www.myspace.com/wakazi

www.reverbnation.com/wakazi

www.facebook.com/therealwakazi

www.twitter.com/wakazi


Washindi wa Oscar kuna niiii?...

Tokea saga la Jesse James mume wa mwigizaji wa kike Sandra Bullock kushtuhumiwa kutembea nje ya ndoa, Hollywood imekuwa gumzo. Watu wengi wamebaki wakijiuliza kuwa, inakuwaje washindi wa kike wa Oscar wamekuwa wakiachika baada tu ya kushinda tuzo hiyo muhimu.
Pichani waigizaji wakubwa wa kike walioachika baada ya tuzo ya Oscar. -Kate Winslet’s aliachwa na Sam Mendes, 2000-Hilary Swank na Chad Lowe, 2001- Julia Roberts na Benjamin Bratt, 2002-Halle Berry na Eric Benet, 2004-Charlize Theron na Stuart Townsend

"I hope Monique hatompoteza mumewe kipenzi, anayevutiwa na vinyweleo vyake vya miguu:)"...

-news from LI

Thursday, March 18, 2010

Celebrity look- alikes: Ukiambiwa ni watu wawili tofauti unaweza usiamini....

Chini: angalia video ya Edward Moss akiwa kwenye tour ya kuchangia mfuko wa MJ. "utachoka"-

Usiku wa jana: Alicia Keys na Beyonce waperfome wimbo wao "Put It In A Love Song" kwa mara ya kwanza...


Uhusiano wa Alicia Keys na familia Carters wazidi kuongezeka. Usiku wa jana ndani ya Madison Square Garden, yeye na bwanaa'ke Swizz Beats walipanda jukwaani na ku'perform. Keys mara akawa'surprise washabiki wake baada ya Beyonce kutokea kuimba wimbo wao wa "Put It In A Love", mwisho wa show akamalizia na “Empire State of Mind II" wimbo wa yeye Jay Z. Wanamuziki wengine waliolikwaa jukwaa ni Melanie Fiona na Robin Thicke.

Wednesday, March 17, 2010

When I met Camille LaBry...

She's definitely one of my favorite make-up artist.

http://www.camillelabry.com/


DMX ashangazwa na hukumu kutoka kwa jajii...

Updated:
Mwanamuziki wa Hip-hop wa siku nyingi DMX ashtushwa na hukumu ya miezi 6 jela iliyotolewa na jajii wa Arizona hapo jana, baada ya kushitakiwa kwa kosa la utumiaji wa madawa ya kulevya.
Angalia video:

Alicia Keys na Swizz Beats sasa waweka wazi mapenzi yao...

So now Swizzy’s divorce is finalized, the couple are taking their not-so-secret relationship public. They recent walked together on the red carpet at the Gotham Magazine Annual Gala in NYC, which was also hosted by A. Keys. "Kwa raha zao", sasahivi ni full kujiachia!:)

Tuesday, March 16, 2010

Fashion za siku hizi haziendi bila mizagazaga...

Pichani: mwanamuziki Estelle, na Kelis ambaye kama kawaida yake akiwa ametoka na style yake ya ki'retro hip-hop punk fulani hivi. Chini akiwa amepozi na rafiki yake Damon Peruzzi kwenye Real King of New York party ndani ya Juliet Supper Club wikiendi hii mjini NYC.

"JOIN AND VOTE" for Beautiful Vanessa Dee...


From Vanessa Dee: "So, Here is the story. I started working with MTV Base about three years ago. I've participated in a couple of gigs in all over Africa and South America. My passion has always been modeling though... And that's where You come in. I'm participating in this Benetton modeling recruitment. I need as many votes as possible. And your vote will really make a difference."

Source:
http://casting.benetton.com/users/582946-vanessa-mdee

TK: It's an honor to be part of this Children's Safe Drinking Water project PUR

Okay, so here is a PUR ad for Children's Safe Drinking Water project that was done recently mdau. I'm sure some of you got a chance to watch Summit on the Summit yesterday, MTV were showing celebrities climbing Mount Kilimanjaro for PUR.
And this is just one of the ad I was featured in. And promise me you won't laugh at that cute accent of mine..."kiingereza cha kijiji". it's cute thou.I liked it:)!

Monday, March 15, 2010

Lilanga Carre', scarf za Michoro ya George Lilanga Zilizobuniwa na Designer Mkubwa Nchini Ufaransa...

George Lilanga (1934-2005), ni mmoja kati ya waliokuwa wasanii wakubwa nchini Tanzania, ambao walipata nafasi yakuitangaza kazi yao kimataifa. Lilanga ambaye kwa sasa ni marehemu, enzi za uhai wake alipata nafasi kupata mialiko mingi kutoka nchi mbali mbali ikiwemo Italy, Marekani, China, Austria, Japan, Ujerumani, Uingereza, Switzerland, Ufaransa na kujenga jina kubwa na hadi sasa vinyago na michoro yake kuendelea kuuzwa kwa bei kubwa sana kwenye mitandao "ebay".
http://www.shikra.de/African-Art.html

Pichani Lilanga carre' kitambaa chenye thamani ya dollar $500, kilichobuniwa na m'bunifu mkubwa kutoka ufaransa, Bali Barret .


Sunday, March 14, 2010

Lady GaGa feat. Beyonce a.k.a Honey B - "Telephone"...



Honey B: "Trust is like a mirror, you can fix it if it's broke."
GaGa: "But you can still see the cracks in that mother@#$%&$'s reflection." Hahahah!lol...

Saturday, March 13, 2010

Pilates ni mazoezi tosha ya kumweka mwanamke mwenye umbo lolote kuwa fit...

Haijalishi una umri gani au wewe ni mnene kiasi gani, mazoezi aina ya pilates ni jibu tosha la kuweka mwili wako sawa vile utavyotaka.
Video:

Tuesday, March 9, 2010

My j/mosi hair look:)...

mamaaa wa commercials, on my way to the auditions j/mosi.full kijiachia...

Monday, March 8, 2010

My favorites dress on the 2010 Academy Awards Red Carpet...






Sorry guys I didn't get a chance to cover Oscar's Big day. I was busy. But here is one of my favorites dress from the 2010 Academy Awards red carpet. Worn by Jlo.

The 20th Annual Night Of 100 Stars Awards Gala...

Updated:
Teddy Kalonga attends The 20th Annual Night Of 100 Stars Awards Gala at Beverly Hills Hotel on March 7, 2010 in Beverly Hills, California.
Source: WireIMAGE & LIFE

Saturday, March 6, 2010

Beyonce atumia mshahara wake wote wa Cadillac Records film, kufungua Cosmetology Center.

Beyonce akiongozana na mama yake mzazi Tina, jana walifanikiwa kukata utepe rasmi kwa kuanzisha chuo cha kufundisha watu walio tayari kujifunza vocation/trade in cosmetology. Ambayo pia ni moja ya jumba la Phoenix rehab center huko Brooklyn.
Threeeeeeeeeeeee, twooooooooooooooo, oooooooooooooone.... :)

Total Knockout Search!!

Custom Search