Lea michele wa "Glee"
...unaonaje mdau?

Kwa wadau msio mjua Tila Tequila ni dada mmoja hivi mmarekani mwenye asili ya Asia, ambaye anatafuta umaarufu kwa nguvu zote hapa Hollywood. Alianza kama Dj', akafanikiwa kuwatega fans wengi kupitia myspace page yake kwa pozi zake za kutega mtu, akapata reality TV show, mara akatoa single kadhaa lakini hazikuuza. Haikuishia hapo, kwa kutafuta attentions zaidi... kikaanza tabia ya kutukana na kudhalilisha ma'super star hapa Hollywood.
Here’s the first pic' of Rihanna taping an upcoming episode of “Ellen.”
Umodotz.blogspot.com ikiwa ndani ya uongozi wa mkurugenzi mkuu wa Umodo blog Taji Liundi, pamoja na uongozi mzima wanawakaribisha wote kwenye shughuri hii maalumu ya kufungua mwaka..
Mohamed Chalamila a.k.a 'Moe Q' mmoja wa wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye siku za karibuni ametoka kuzindua albam yake ya kwanza na katika kuhakikisha hilo linakwenda kwa mapenzi ya Mungu, anajiweka sawa kumaliza bifu na dada yake, Rehema Chalamila 'Ray C'. 



Nuru the Light’ (juu pichani)akiwa pamoja na wasanii wa Kundi la THT wakishambulia jukwaa wakati wa uzinduzi wa albamu yake kwenye Ukumbi wa Florida jijini Dar es Salaam hapo juzi.
A Former Miss Tanzania, and a natural born top model Millen Magese, recently has been picked as the first black face of Ralph Laurean. Watu weweeeee!!!... Magese who recently signed with a U.S based modeling agency, Ford Models, this week was also in South Africa for the Audi Joburg Fashion show.







Hapo jana alipata nafasi ya kushare mawili matatu na YBF, hapa ana haya ya kusema:
...lakini hakikisha unasafisha brushes zako kwa kutumia shampoo angalau mara 1-2 kwa wiki. Tumia tishuu za unyevu nyevu au facial cleanser cream kuondoa vyema make-up usoni.
Don't: