
Mama wa Fashion Kimora Lee Simmons na mcheza cinema Djimon Hounsou, sasa wamekuwa baba na mama kikamilifu.
Leo Kimora ametangaza kwenye twitter kuwa, jana asubuhi ajifungua mtoto wa kiume! Kwa raha zaooooo:)!!!







HAKUNA KAMA MAMA! Nina haya ya kusema juu ya malaika mama yangu:
Pichani: jana alipohudhuria Metropolitan Museum ya Art Costume Institute Gala mjini New York. Ikiwa ni mara ya kwanza kutokea kwenye kapeti jekundu, tangu kasumba kumkumba baina yake na mpenzie Christ Brown.




Style ya jinsi chakavu "Double Denim" yarudi kwa kasi.