Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Saturday, March 28, 2009

Kabla na Baada ya Re-touch Ya Kim K!






Kim K: Who doesn't!?!...

Hivi juzi juzi mwanadada mrembo Kim Kardashian a.k.a "Kim K", alifanikiwa kuwa featured kwenye kurasa ya mbele ya jarida la Complex.

Jarida hilo kwa bahati mbaya lilitokea kuweka picha ya Kim K kwenye mtandao kabla ya kuisafisha kwa kuondoa mabunya bunya ya mabajani ya mrembo huyo, na baadae kuiondoa.

Lakini hata hivyo Kim K alisikika akijitetea kwenye blog yake na kusema, hakuna cha ajabu kwani hakuna mwanamke yeyote yule mwenye umbo kama lake "curvy" hasiyekuwa na mabunya bunya. Hmmm!?!

Friday, March 27, 2009

Sasa Hivi Rihanna Hataki Mchezo Kabisa!


Kaamua kujikinga na tattoos mpya za bang! bang!
:) !

Wednesday, March 25, 2009

Aisee!?! Hii Kali Kuliko....





Washabiki wa Diva B walalamikia manjonjo ya Ciara kumgezea Beyonce. Dah!?...Hii hata mimi niliishtukia flani hivi, tena anamwiga hata Janet Jackson.Lol!!!

Kilichowaboa zaidi washabiki wa Beyonce ni hivi juzi juzi Ciara alipotoa video ya wimbo mpya “Love Sex Magic” ft. JT kutoka kwenye album yake mpya. Kiukweli staili anazozicheza kwenye hii video juu^, yaani husipoangalia vizuri utasema "Beyonce mwembamba"!

Angalia staili anazodaiwa kuzi'copy: B rocked the shades with vertical metallic strips, while Ciara did the same thing except her glasses are in steel. B flaunted her stuff in a leopard print bodysuit, Ciara does the same in tiger. Then Beyonce’s “Ego” demo video hit the net a few weeks ago featuring 3 dancers with different afro wigs. Now Ciara has done the same thing in her video, down to the color and style of the wigs.

Full kukopii!

Tuesday, March 24, 2009

MIMI Magazine's March Issue featuring Singer Alache!

Alache: "If you can dream it, you can do it."
Hmm, I like that!
... For more Alache's interview go check out->http://mimimagazine.blogspot.com/
and->MIMI

Saturday, March 21, 2009

Meet The Fierce Wangechi Mutu...


Wangechi Mutu mmoja kati ya wasanii wakubwa duniani, katika ulimwengu sanaa.

Binti huyu wa kikenya aliyejaaliwa akili, maarifa na urembo, miaka 20 iliyopita alihamia nchini Marekani akiwa na lengo la kusomea anthropolgy na sanaa, ambapo baadae aliamua kujikita na kuendeleza shughuli zake za sanaa mjini New York.

Miss Mutu ambaye kwa sasa ni mjamzito, hivi juzi juzi alipofanikiwa kuhojiwa na jarida la April la Vogue.
Akiwa amevalia black crocheted dress over a white long sleeved T-shirt na navy leggings, black nail polish, na nywele zake nyeusi za dreads zikiwa zimesukwa na kuongezewa rasta za rangi ya blue. Vogue ilipomuuliza anawezaje "kwenda na wakati" kimavazi yungali na tumbo kubwa. It's funny!... Akasema: "I have a very 'A', pear-shaped figure, so I haven't had to buy that many pregnancy dresses; I 'm just wearing the ones I wore before and filling them in."

Mahojiano zaidi waweza soma kupitia jarida laApril 09 la Vogue .


Chini some of her paintings:

Special feats: UConn Plays Today...

Don't miss mshike mshike wa libeneke la UConn.

If you missed it last Thursday, they played vs University of Tennessee-Chattanooga and of course UConn won by 56points, 101-47. Yay!!!
Okay, today again UConn will be playing against Texas A&M at 3PM Eastern on CBS.

Enjoy the game!!!

Friday, March 20, 2009

I can't get enough of Bee...

I can't get enough of her. She is adorable!...

Kila mwezi nakawaida ya kupokea jarida la Vogue, lakini yote tisa kumi. Beyonce ni kivutio changu zaidi.

Wednesday, March 18, 2009

Shosti Ndani Ya Vogue...


Diva Beyonce ni mmoja kati ya wanawake wachache weusi waliofanikiwa kutokea kwenye cover ya Vogue.

Ndani ya jarida ili amepata nafasi ya kuzungumzia mengi ikiwepo kuvutiwa kwake na watoto wanapomtazamia kama mfano wa kuigwa.

Angalia video chini:


VOGUE

Sunday, March 15, 2009

Thursday, March 12, 2009

Angalia ESPN ...

Team ya Hasheem Thabeet- University of Connecticut vs Syracuse inacheza...
Sasa hivi...:)

Special feats: HASHEEM THABEET NAMED 2008-09 BIG EAST Co-Player Of The Year!

N.Y(March 10, 2009)-University of Connecticut junior men's basketball player Hasheem Thabeet has been named the BIG EAST Conference Co-Player-of-the-Year for 2008-2009, it was announced Tuesday evening at Madison Square Garden.

Thabeet, who was also named BIG EAST Conference Defensive Player-of-the-Year for the second consecutive season as well as a member of the 2008-2009 All-BIG EAST Conference First Team, shares the Player-of-the-Year award with Pittsburgh sophomore center DeJuan Blair.

UConn’s Thabeet enters post-season play after averaging a “double-double” in 30 regular season games with 13.6 points per game and 10.8 rebounds per game while adding a league-leading 4.5 blocked shots per game. Connecticut posted a regular season record of 27-3 and finished tied for second place in the BIG EAST Conference with a 15-3 league mark.

Upo Hapo!?!...LOL!!!

Total Knockout Crew inapenda kutoa pongezi nyingi kwa Hasheem Thabeet!... Tunajivunia kuwa "part of you" kwa namna moja ama nyingine... Hongera sana!!!:)
Habari zaidi-> www.UConnhuskies.com

Wednesday, March 11, 2009

Rihanna Taratiibu Ajikongoja Studioni...





Baada ya misukosuko(kichapo), Rihanna tayari ajikongoja studioni.

Akiwa na song kali la malavidavi ambao amemshirikisha boyfriend wake Chris Brow, walioshuhudia wanasema siku ya kurekodi huo wimbo wapenzi hao wawili walionekana wakiimba kwa hisia kubwa huku wakipapasana na kutokwa na machozi.

Hmm!?! Mapenzi jamani!...

TMZ

Monday, March 9, 2009

"U-MODO": Blog Mpya Yenye Lengo la Kuinua Umodo Tanzania!!!



















Ikiwa chini ya mdau mkubwa na mahiri kwenye kazi ya utangazaji, uwana mitindo, ugundua na kuinua vipaji vya vijana wengi nchini Tanzania, Taji Liundi a.k.a Master T. UMODO blog here we go!

Kama wewe ni kijana/binti mwenye kipaji au wahisi unasifa ya kuwa modo na upo Tanzania, basi husisite kutembelea U-MODO blog waweza kupata nafasi ya kutoka katika staili ya "nitoke vipi".

Pichani: Picha kutoka U-MODO blog ikionyesha kazi nzuri kutoka kwa mwanamitindo Fatma Amour, kakakuona. Habari zaidi-> U-MODO

Sunday, March 8, 2009

Kazi Nzuri Kutoka Kwa Vijana Wetu "Cupid"...


CUPID CLOTHING COMPANY ikiwa chini ya m'bunifu Nick, watarajia kutoka rasmi mwenzi ujao. Nguo hizo ambazo zitakuwa zikipatikana jijini Dar es salaam na sehemu zote Tanzania, pia wameahidi uwezekano wa kukusafirishia sehemu yoyote ile mteja ulipo.

Bila kusahau Cupid pia wanatakuwa na fashion show yao ya kwanza kabisa mwezi Dec mwaka huu, Dar es salaam, Tanzania.

Friday, March 6, 2009

Jason Wu: Disgner Anayemvutia US's First Lady Michelle Obama....

Updated:
Kama una kumbuka vizuri kwenye Inaugural Balls alikuwa ametinga baadhi ya viwaro kutoka kwa m'bunifu Jason Wu.

Pichani Kwenye Jarida la Mitindo "Vogue" la mwezi March, Michelle Obama kwa mara nyingine tena ndani ya gauni lililobuniwa na m'bunifu huyo (Jason Wu).


Head on the Runway

Tour ya AY Tayari Kuanza Kesho, Marekani...

Wednesday, March 4, 2009

Kumradhi wadau:Post ya Breaking News Imeondolewa...

Hmm!?!... Naona mwanablog mwenzangu aliyenitumia link ameamua kuiondoa post ya muhusika.
Kama wote tunavyofahamu fisadi(ze'uchungu') siku zote usakwa kwa udi na uvumba.
Ile post niliyo'forwardiwa na mwana blog mwenza, sikutaka kuandika kitu chochote zaidi ya kuweka link ya kukupeleka kwenye habari yenyewe. Sasa sijui imekuwaje huko, labda mwanablog mwenza kachimbiwa mkwara. Mwaweza kumuhoji zaidi=>"angalia Bongo"...

Tuesday, March 3, 2009

Aisee!?! Si Mchezo...


Mi' nilidhani ni wanamuziki wa kike tu ndio wanakawaida ya kuimba na kujiachia hadi chini. Kumbe hata wanaume. Nice!

Pichani Kanye aki'perfom katika show yake ya VH1 Kanye West's Storytellers.

R.I.P Rehema Mwakangale
















Mtangazaji wa ITV Rehema Mwakangale (kulia) amefariki dunia leo asubuhi katika hospital ya Mikocheni alikokuwa amelazwa, kutokana na Ugonjwa wa athma.

Kwa Mujibu wa taarifa kupitia Radio One, mipango ya mazishi itakuwa kwa bibi yake Sinza karibu na Deluxe bar.


Total Knockout Author:"Namkumbuka Rehema kwa upakaji wake wa make-up(eye-brows) na tabasamu lake", alikuwa ni mtu ambaye siku zote upenda kutabasamu anapotoa salaam.

Mola ailaze roho ya marehemu peponi
AMINA
.

Monday, March 2, 2009

Beyonce na Tangazo la Japan...


Pichani, akila shavu na Tangazo lake jipya la "Samantha Thavasa".

Kids are Angels, They Can See Other People's Hearts!

DAILY NATION :
"There is a light moment as
Prezzo’s kid brother, Phillip Makini, (four years old) says “no” when the pastor asks him if the two should get married. Obviously he can’t figure out what this marrying business is all about."

Sunday, March 1, 2009

Coming soon!!!























Are you a member of the Total Knockout!! blog?
...

Yes, or no, kwa mara ya kwanza kabisa Total Knockout!! inapata nafasi ya ku'share na wewe viwaro vya Total Knockout blog.
Soon kutakuwa na Tops, T-shirts za kiume, vikombe, kofia, stickers, chupi, nk... ambavyo vyote vitapatikana kwenye online shop.

"Feel sexy, confident, blessed... and be a Total Knockout!!!" :)

Total Knockout Search!!

Custom Search