Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Thursday, February 26, 2009

You gotta love Beyonce...



Diva B na muonekano mpya.
.....................................................

OMG I adore her. She is one of a kind.

Dem mzuri alafu anachapa kazi kinoma!
She can be whoever she wants to be.

It seems like she can even loose weight in a min if she wants to... Take a look at her recently pictures taken by a celebrity photographer Tony Duran.

I Feel Sorry For Haters....



Hivi... ni wivu, upungufu wa akili, au ni ukosefu wa malezi bora?

Unapoiba picha zangu za facebook na kuzipeleka kwenye blogs chafu ni nini!? Wafanya hivyo ili iweje?...Do you think that will fade me?...uh' uh, that will never happen... tena na ushindwe kabisa!!!

Unasikia raha sana unachomfanyia mwenzako, kama ungekuwa wewe au ndugu yako anafanyiwa hivyo ungejisikiaje?
Alafu... na hiyo tabia ya kuunda rumor ya uwongo kwa lengo la kumchafulia mtu sifa pasipo sababu, ni nini!?... Kwa kuwa wewe ni mchafu basi unataka kuchafua kila mmoja...

I have been always busy with my work I never get time ya kufanya mambo ya kipuuzi (plus nakula changu sili cha mtu)... lakini bado muhuni bila haya wasimama kidede kuita wanawake wenzake wahuni... na hata kuthubutu kunilistia majina ya watu niliotoka nao huko blogin' ambao siwafahamu hata kwa sura. That's so cheap, hater!! You don't even know me.

Kama huna mpango na mimi achana na mimi, stop coming my way looser!.... You are distracting young people who depend on my advice, including your siblings na friends zako ndio watu wakubwa wanaotegemea ushauri kutoka kwangu (facebook). Yap!... Because they have faith in me.
.....................................................................................
Tabia chafu inatokana na mtu kuwa bored na maisha.
I am blessed! I am a beautiful lady with many talents, and I am busy pursuing my dreams. Sina sababu ya kuwa na tabia chafu kama wewe (iweje unanilazimisha?)... Hauna maisha ama!?

However, maneno ya mpumbavu hayanikoseshi usingizi. I just feel sorry for you! "Unajijua"... na blog zako za kuzimu wanaokupa nafasi, washindwe kabisa!!!

Dedication:


PS: For the none-haters juu kabisa 'am on set shooting my new commercial.

Wednesday, February 25, 2009

Max Osterweis: M'bunifu Mkubwa Anaye ipaisha Kanga NY...









Max Osterweis
, m'bunifu anayekwenda na lebel ya Suno.

Pichani ni vivazi vya Spring/Summer 09 collection ambavyo anasema ni mwenokano wa heshima ya mwanamke wa kiafrica mashariki huko downtown New York, ambako viwalo hivyo vinapotengenezwa.


Fashion Indie

Tuesday, February 24, 2009

I Was a little Shocked When I came across Z HOVAK...





Z HOVAK is a young female designer who happened to catch my eyes, and make my heart beat fast just from seeing her work.

It was early this morning cruzin' around West Hollywood and suddenly happened to bump this shining, sassy little clothes store, and I couldn't help but go in.

It's Z Hovak, who created such a wonderfully colorful clothing line.
Every thing hand made one of a kind.

Along with her boyfriend who sells custom painted sneakers, they recently opened and run this store together.

For more info you can go check out Z HOVAK.com

Or visit the store at:
8350 Stanta Monica Blvd. Suite #105 West Hollywood. CA 90069 PH: 323-656-6995

Sunday, February 22, 2009

My favorites Top 8 dresses; OSCAR 2009 Red Carpet....


Picha ya kwanza kutoka juu Heidi Klum akiwa na hubby Seal ndani ya gauni jekundu lililobuniwa na Roland Mouret.

Alicia Keys - lilac Armani Prive dress.


Jessica Biel- strapless ivory satin Prada.
Penelope Cruz - vintage Pierre Balmain dress.

Viola Davis na gauni la Reem Akra.

Miley Cyrus- Zuhair Murad dress.

Queen Latifah- Georges Chakra

Na wa chini kabisa ni my favorite favorite actress Taraji P. Henson yeye alitoka mchicha zaidi na gauni yeupe lililobuniwa na Roberto Cavalli na jewels zake kutoka kwa Fred Leighton.

Wednesday, February 18, 2009

Monday, February 16, 2009

Sunday, February 15, 2009

Night With Friends...




















Meelay, Marilyn, Russell Simmons and Teddy Kalonga (me) in Beverly Hills last night.

Russell Simmons, one of the Top 25 most influential people in the world, has inspired many young Africans with his success. And I am one of them of coz!

Saturday, February 14, 2009

Kazi ya m'bunifu Lola Faturoti, NY Fashion Week...


Lola Faturoti, the Nigerian-American designer, has designed a commemorative dress in honour of President Obama.


NYFW

NEW YORK FASHION WEEK KUMEKUCHAA!













New York Fashion Week
imeanza kwa kishindo kikubwa, huku ubunifu wa Afrika ukiwa umepewa nafasi ya kufungua dimba.

Pichani African Fashion Collective 2009, ikiwa imesindikizwa na sauti ya mwanamuziki Grace Jones ndani ya Bryant Part.

Wabunifu wanne walionyesha kazi zao,
Xuly Bet kutoka Mali, Nkhensani Nkosi wa Afrika ya kusini, Fati Asibelua-Momo na Tiffany Amber kutoka Nigeria.

Huku ikiwa na ma'model kutoka nchi mbali mbali ndani ya Africa, Russia, China, Netherlands bila kusahau super models weusi maarufu Alek Wek, Millen Magesse, Chanel Iman, na Tyson Beckford walikwepo akiuza sura. lol!

How Was Your Valentine's Day?....





Mimi Valentine's Day yangu ilikuwa safi kabisa...asubuhi nilienda hiking na mpenzi kwenye vichaka vya kilima cha Hollywood.

Tunapenda hiking!
.................................
How was yours?

Maskini Rihanna... Kipigo cha mbuzi.


















Wapendanao...

Baada ya kupokea kipigo cha mbuzi kutoka kwa ampendae...I wonder sikukuu ya wapendanao ataisherekeaje...

Happy Valentine's Day Everyone!!!

Msipigane eh!...
sawa?


LA TIMES

Friday, February 13, 2009

Nuru na blog mpya!



















(mai"kiswanglish")

Imekuwa kawaida kwa watu maarufu kuwa na blogs zao, ambapo nao pia wanapata nafasi ya ku'share personal things na interests zao.

Likewise, Kanye West, Teddy Kalonga(me), Solo thang, Nuru na wengine wengi.

Go check out Nuru's news blog, goes by the name NURU THE LIGHT!=>http://www.nuruthelight.blogspot.com/

Pichani akiwa na mdau wa "Visual Label" Adam Juma, anayesifika kwa kunga'arisha na kuipandisha chati kazi ya wanamuziki wa bongo flava. Pia ni mtu wa kwanza kwa kutengeneza music videos zenye ubora inchi Tanzania. (Unabisha?)

Monday, February 9, 2009

M I A , T I , Lil Wayne, Jay Z, & Kanye West Perform Swagga Like Us At The 51st Annual Grammy Awards

Grammy Awards ya mwaka huu ilikuwa na mabadiliko makubwa kidogo. Wasanii waliopanda jukwaani ku'perform walikuwa ni watu wanaotofautiana kiumri, aina ya muziki hata life stlye. Lakini hii ni moja ya bonge la collaboration..watch it!

Sunday, February 8, 2009

51st Annual Grammy Awards 2009 Red Carpet...



Mastar walionivutia zaidi kwenye Grammy Awards 2009 red carpet. Pichani MIA na Jenifer Hudson

.................
Coldplay na just little flash of T.I & Jay Z


Paris Hilton

Saturday, February 7, 2009

Raheem DeVaughn is One Of The Grammy Nominees 2009...


Best R&B Song:


Category 28


  • Customer
    I. Barias, Raheem DeVaughn, C. Haggins, K. Oliver & Johnnie Smith, songwriters (Raheem DeVaughn)
    Track from: Love Behind The Melody
    [Jive; Publishers: Universal Music-Z Tunes/Ahmad's World/Universal Music/Nivrac Tyke Music/Fresh Paint Music/HC 1030 Publishing/Universal Music/Tetragrammaton Music/Melodic Piano Productions/HC 1030 Publishing]
Pichani kaka Raheem nami, kwenye moja ya Grammy parties in Los Angeles.
He's such a nice guy.

Etta James... Hakufurahia Wimbo Wake "At Last", Kuimbwa na Beyonce.


Gumzo!-

Habari nyepesi nyepesi zinasemekana kuwa Mwanamuziki kikongwe (mkubwa) Etta James, hakufurahia kitendo cha Beyonce kuchaguliwa kutumbuiza wimbi wake mashuhuri wa "At Last"..... ambao diva B aliuimba kwenye sherehe ya first dance ya Obama na Michelle ndani ya presidential ball…

Hivi karibuni Etta James moja kati ya performers zake huko Seattle alisikika akisema:

(Madongo kwa Beyonce na Obama) utani tu...

You guys know your president right? You know the one with the big ears. Yeah, wait a minute, he ain’t my president, he might be yours.

I tell you that woman he had singing for him, singing my song, she gonna get her ass whipped. The great Beyonce.

Now like I said, she ain’t mine. I can’t stand Beyonce! She had no business up there singing. Singing on a big ole, big ole presidential day and going be singing my song that I’ve been singing forever.

Lol!

Mbali hapo pia hivi juzi juzi Beyonce alicheza movie iliyobeba jina la Cadillac Records, ambayo inayomuhusu mwanamuziki huyu wa mkubwa.

Thursday, February 5, 2009

Christian Lacroix na Haute Couture Spring 2009 collection



Kazi ya mbunifu Christian Lacroix ndani ya Paris Fashion Show:


Wakati mwengine utokea kuwa vigumu kwa watu wa maisha ya kawaida kupata nguo kutoka kwenye runway ambazo wanaweza kufikiria kuzivaa nje. Hasahasa kama sio msanii au mvunjaji sheria kwenye mavazi.

Lakini si kwa mbunifu Christian Lacroix, yeye ni mmoja kati ya wabunifu wakubwa kutoka France ambao kazi zao zinaweza raisi kuvalika nje.

Pichani Couture Spring 2009 Collection in France.

Wednesday, February 4, 2009

Posh and Her Hubby Are Moving to Milan...


Updated:
Posh says goodbye to LA!?
Tayari kwishaanza kufanya uhamisho wa shule ya watoto huko Milan.

Kwanza ilikuwa makubaliano kati ya mke na kazi.

Hivi karibuni Beckham alisikika akisema yeye yuko tayari, na ni juu yao AC Milan na Galaxy kufikia maamuzi ya kuhama kwake. (Ina maana mama watoto sasa ameridhika na Milan!)

Kwasababu mwanzoni Posh hakuwa tayari na Milan kwa kuhofia wanawake wazuri za kitaliano kuwa wangeweza kunyang'anyiwa mume.(rumor) Kazi ipo!I can't wait to see the shoe Posh is gonna put on. Italian heels bay'bee!!

Monday, February 2, 2009

Special Feats: Kama Kawaida...Thabeet Ang'aa Vilivyo UConn

















It was all about Hasheem Thabeet! Hadi raha yaani!!!
......

Akiongozana na Jeff Adrien ambaye alijitengenezea points 18, na rebounds 7. Player of the Game Hasheem Thabeet, yeye aliibuka na points 14, rebounds 11, na 4 blks . Vile vile Jerome Dyson akaja kumaliza na points 14, A.J. Price 11 na Kemba Walker 8 kwa Huskies (21-1, 10-1 Big East), ambao wameibuka ushindi wa 10 kwa row.

LEO NI LEO...HASHEEM THABEET UWANJANI!

BIG GAME:

Ni masaa machache tu yamebakia, UConn kuingia uwanjani.

Let me put it kwa "kimanga", kwa kuonyesha msisitizo zaidi... Leo UConn will be play the most important game of its regular season against the Cardinals.

Kwahiyo kama uliwahi au ukuwahi, utapenda au ungependa kumuona ndugu yetu Hasheem akiwakamua "wamanga wa ughaibuni", basi ndio wakati wenyewe huu...usikose! Inatarajiwa kurushwa moja kwa moja kupitia Luninga yako ya ESPN kwa wadau wa LA channel 39 saa 4:00PM

Don't miss it!!!

Mr. Blue ft. Steve-Tabasamu

Wow!!! Kwa mara nyingine tena nimejikuta natokwa na kijasho chembamba baada ya kusikiliza wimbo mpya wa Mr.blue! Kama mshabiki wake mkubwa... ni muda mrefu sana sikukutwa na hali hii... Hii inanizihirishia wazi kuwa Blue ameongeza nguvu katika kazi yake. Zizzou entertainment, Dir.John Kallage, kazi nzuri sana. Wimbo waitwa tabasabu- Steve na Blue!... Bravo! Bravo!

Sunday, February 1, 2009

Special Feat: Hasheem Thabeet Made a Record Today!!!


HASHEEM THABEET
LEO AMETENGENEZA RECORD UCONN!

STORRS, Conn. - Hasheem Thabeet cast a giant shadow over Gampel Pavilion Saturday.

Connecticut's 7-3 junior center punished Providence, scoring 15 points, grabbing 11 rebounds and tying his own school record with 10 blocked shots - the first triple double of his career - as the second-ranked Huskies rolled to a 94-61 victory.

"Today, you saw a visual picture of all the things he can do to affect the outcome of a game," UConn coach Jim Calhoun said.

Well done, kaka. Tunajivunia!

DAILY NEWS

Total Knockout Search!!

Custom Search