Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Wednesday, November 18, 2009

What's up with thongs!?...

It's beautiful, comfortable, sexy, classic, although can be so yesterday but always so today for guys.
"I remember hearing this like 7years ago but I never really took it seriously".
According to mwana gynecologist wa Hollywood Dr. Lisa Masterson "thong bikini" kama ukiwa unazivaa kila siku inaweza kukuletea matatizo makubwa kiafya sehemu nyeti. Yes,.. it favors the development of yeast vaginal infections as well as urinary infections. So, I guess we know when and where to wear, or like ukiwa na mtu Mr. wako! How is that?! lol...

5 maoni / comments:

Anonymous said...

WEWE UKO JUUU DADA
watashaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kula nchi waonyeshe wavimba macho kwamba unawezaaaaaaaaa

disminder

Anonymous said...

Hizi ni za kurahishisha kazi mwanamke anakua tayari wakati wowote na popote bila haja kuvua nguo zote.

Anonymous said...

ni kweli kabisa hizo chupi mwenzangu ni za kuogopwa na kama unazipenda sana basi ni bora uzivae wakati maalum tu mimi hilo nalijua toka kitambo na kuna shosti yangu mmoja nilikuwa nikimuimbia ananiona mshamba maana yeye chupi zake zooooote ni g string hana za aina nyingine it's really not healthy ladies there are so many ways to be sexy apart from wearing g-string if that's the case mtapata ukurutu huko chini sijui hapo hata kama tena mtakuwa na hamu ya kuvaa hizo chupi tena mmeshaanmbiwa na gynocologist kuhusu madhara sasa kazi kwenu warembo

Anonymous said...

rafiki yangu alikuwa anavimba kule chini akaambiwa aache kabisa hizi.Kwanini msivae thongs?mi daima navaa htongs maana ni nene kwenye KIDUDEZ ila hizi hapana..

Whateva said...

Thong thong thong thong thong..... paging Cisco

Total Knockout Search!!

Custom Search