Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Sunday, November 29, 2009

Nilifurahi Kumuona Hasheem Akicheza...

Pichani kutoka kushoto Meli, Deo Temba, na mdau mie tulipotoka kumuangalia Hasheem Thabeet akicheza katika ukumbi wa "Staples Center" leo mchana. Team yake Memphis Grizzlies ilitoka kwa 88 na Los Angeles Clippers 98.

11 maoni / comments:

Anonymous said...

ur make up wz a bit too much fo machana love..yani uso umetoka mweupe kuliko mwili au ni photoshop?maana picha ya chini yake imetoka poa zaidi.neway much luv

TOTAL KNOCKOUT!!! said...

LOL!!!That's true... Actually I had a wrong powder, was lighter than my skin. Hiyo picha ya nje ina utofauti na ya ndani coz of the light. Outside was cloudy, inside the lights reveal. U know?...

Teddy

Anonymous said...

Stamples kweli???Here I was thinking it was "STAPLES". The lace wig does nothing for you.You look way better with the other hairstyles you used to do before. Positive criticism.

TK said...

I don't mind if you telling me the truth. I totally agree with you. And it's cheap too.

Anonymous said...

nimekukubali tk kwa kukubali ushauri kutoka kwa watu.keep it up hata mimi nimenotice something with the make up na hairstyle.

Anonymous said...

Kweli nimependa sana jinsi unavyojichanganya na wa TZ wenzako mkawa na umoja kama huo.
BIG UP

disminder

Anonymous said...

Nakupendea hapo mtoto, hata mie nimenotice changes, makeup imekolea ikapitiliza, rekebisha mdogo wangu, wee ni kasweet sana, tena mno!! najua kuna haters watatoka huko na kusema umetumia mkorogo!! ha ha ha haaaa..dont mind them

Dadako

Anonymous said...

kuna watu ukiwaandikia kwenye blog zao labda kuna kasoro ya make up au nywele hawapublish.Nimefanya hivo mara nyingi sana tu.That is why i take my precious time commenting here everyday coz najua kwakuwa naandika kwa nia nzuri utapublish tu.Love u tk

Mama B said...

Mmependeza TK! I love the way you take good care of my brothers, una roho nzuri sana. Cody is very lucky dear.

TK said...

Shukran mama B.

Anonymous said...

nakupa pig up sana TK kwa upendo na ndugu zako, ila hasheem alipokuja hapa sikumwelewa ina maana kiswahili amekisahau namna hiyo manake yani ukiwa nje ukimsikiliza utadhani mzungu anajaribu kuongea kiswahili, mwambie kwa wema tu sisi tunampenda ila nyumbani ni nyumbani aone wenzie wakina hakeem olojuwan na dikembe pamoja na mambo yote olojuwan akiongea utajua tu ni mnaija, ni hayo tu ila tumafurahi mnatuwakilisha vyema and its all gud

much love

mama Andrew

Total Knockout Search!!

Custom Search