u know what i really like your skin complexion-una rangi moja yaani kwanzia kwenye uso wako hadi kwenye mikono and its hard to have that!Keep updating us abt your beauty tips.Upo juu.
tk u r looking good my dear,yan wewe una damu ya ki star,tafuta mshiko kwa jasho lako na si jasho la baba,mashauzi mengi,huna lolote ni tk tu ndio anayekunyima raha na usingizi,wewe tk fanya mambo acha waseme wakichoka wakatafute chanzo cha utajiri wa baba yao!!yani muombe sana mungu ufike sehemu unayota kuwa good luck gal!!
18 maoni / comments:
ngozi unayo bidada!
laini haswa!
Pam
Kool! These photos look nice but they would have even looked better had the mag's been scanned and not camera shot like they are... Nice work anyway!
Kazi nzuri umependeza wewe bado mdogo na unalipa!
Wale wanaopenda kuiga vitu vya TK waige na mambo haya..wakatolewe kwenye magazine!!! Utashaaaa...!!! Go gal...
Kwanza kwa uzuri gani walionao? magezeti kama hayo yanataka watoto wadogo wazuri wenye ngozi nyororooooooookama tk lol
vp tk unamfahamu caroline moshi alikuwa mpangaji wenu??? vp yupo wapi cku hz..
hizo picha umefunika bovu mtoto
mashallahhhhhhh!beautiful baby girl..ytupe siri ya urembo tupendeze na sie
Nice pics.Ila unge scan kama huyo wa juu alivyo sema tupate raha zaidi!!
VIMBWISI UTALIA NA KUSAGA MENO.. IGA KUNYA KWA TEMBO UONE KAMA VIMBWISI HAVIJAMALIZIKIA!!!
Good work TK! I like the top one
u know what i really like your skin complexion-una rangi moja yaani kwanzia kwenye uso wako hadi kwenye mikono and its hard to have that!Keep updating us abt your beauty tips.Upo juu.
vimbwisi atatoka kwenye uwazi & ijumaa, lol.
vimbwisi atatoka kwenye uwazi & ijumaa, lol.
You look stunning my lil sis.
Mama M
Nice one! I like ur blog Tk! U r a truly star!
tk u r looking good my dear,yan wewe una damu ya ki star,tafuta mshiko kwa jasho lako na si jasho la baba,mashauzi mengi,huna lolote ni tk tu ndio anayekunyima raha na usingizi,wewe tk fanya mambo acha waseme wakichoka wakatafute chanzo cha utajiri wa baba yao!!yani muombe sana mungu ufike sehemu unayota kuwa good luck gal!!
WE MZURI DADA
WATASHAAAAAAAAAAAA wale Wakaanga sumu.
disminder
I love Teddy Kalonga. You amazing me gal. I bless you.
Zai
Post a Comment