Well, I AM!!! Siku zote nionapo aina ya gari nizipendazo I go like daaaaaaaaamn!!! Napenda sana magari. Pichani me na mdau Codynino at a car show, and down below is some electric cars. Beautiful!! But Range Rover is my most favorite car at all time.
24
maoni / comments:
Anonymous
said...
unajua kila mtu ana addiction yake some shoes, bags na vingine.as usual umependeza dada yangu plus ur husband too!!!!xx
U look gorgeous TK with dat outfit kumbe una leglineee oooh mamamaaa mia Tk Mamamaaaa anatesa Mamamaaaa waache wachonge ila wewe kifaa kam wanauwezo wakuface wakwambie sio wanaongea na Pc zao nimemnukuuu Mamaa Garder "JD",Wewe uko juu kama nyota kama wanaweza shika nyota basi watakushika na wewe Tk horiyaah bibi haihusu,Nice Complexion,body ,na uleg bibi upo
U always look gorgeous without makeup NIMEJUA tu hujapaka kitu kwenye hiyo picha...sum ppl looks so ugly without fake eyelashes and make up. just FAKE!!
Looooh!My Diva hana roho ya ndala huyooo dat iz TK bwana ,Wajua roho ya ndala wewe babeee wa Hollywood aka Mamtoni kumbe anakukubali uko juuu Mammtoni hahahahhaha TK hata TZ Mamtoni just a joke oky .....ka sweet six nyonyo saa 6 mguu unalipa hauna kona kama spring za bike.......
Kwi kwi kwi,mboni mambo hiyo kali ya miguu kupinda kaa spring za baiskeli, watapiga debe sana, keep working on your dream gal. wao yawashinda huyo BI kidevu wa manchest', kwanza kadampiwa na sokwe mtu wake wa ufaransa, kutwa kutuma vicoment kwenye liblog lao la manzese,umpandie ndege nani? Kajifunze kuoga hovyoooo, ushoga wa social network huo, kukurupuka tu, vimbwisiii anawavutia time.kwikwi
wewe anony unaesema tk kamuita mtoto wa watu nyani kwani yeye ndio anaecomment humu?acha upuuzi wewe!ni wadau ndio wanaocomment..this is the price that miss vimbwisi na haters wengine wote have to pay kwa kututukania dada yetu na bado.Najua yamemchoma sana tu/
..they reeally have to pay kwa kweli , alivyomtukana TK na ndugu yake kwani yeye haijamuumaa???
au TK ana moyo wa chuma??
Au ndo ukweli unauma??
tena unamuuma sana sababu alimzushia mwenzie ni uongo na uzushi mtupu
mi simpendi kwa uongo uongo sijui kasoma nini .. usikute alikuwa anadesa sana chuo kikuu no wonder computer science ilimshinda mfyonyoooooooo ...mbavuuuuuuuuuuu
na hii kama hajaandika manjano au kidefu au vimbwisi mwenyewe..
Hongera mdogo wangu TK... jamani wabongo wasione mwenzao anapiga hatua viroho vinawauma kweli. Ndio maana mie toka niondeoke Dar es salaam late 1980s sijarudi tena. Wabongo nuksi kweli
24 maoni / comments:
unajua kila mtu ana addiction yake some shoes, bags na vingine.as usual umependeza dada yangu plus ur husband too!!!!xx
U look gorgeous TK with dat outfit kumbe una leglineee oooh mamamaaa mia Tk Mamamaaaa anatesa Mamamaaaa waache wachonge ila wewe kifaa kam wanauwezo wakuface wakwambie sio wanaongea na Pc zao nimemnukuuu Mamaa Garder "JD",Wewe uko juu kama nyota kama wanaweza shika nyota basi watakushika na wewe Tk horiyaah bibi haihusu,Nice Complexion,body ,na uleg bibi upo
Just fall in love........ mean da shoezzzzz
Asante TKC,
prove them wrong!! keep it up!!
MAROGOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
WATASHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
disminder
jamaani mmependeza sana ..enjoy life na Codynino wako maana mmeendana sana
TEDDY BEAUTIFUL LADY OF ALL THE TIME WENYE WIVU KAZI KWAKO INAHUUUUU?
so u like pretty carz!!!!! good to know!
yaani TK unaniudhi we mtoto!! ndo nini kupendeza hivi jamani?!! baby ur rocking..... luv the look:)
Simple and lovelly winky umetulia Gorgeous wewewewewewewe kama mbwai mbwai bana
yeah u goo girl do ur thing m soo in love with cars as well...u luk absolutely stunning and ur hubby as too...bless u
U always look gorgeous without makeup NIMEJUA tu hujapaka kitu kwenye hiyo picha...sum ppl looks so ugly without fake eyelashes and make up. just FAKE!!
TK unajua nakupenda sana? nimekua nikikufatilia kitambo.unaonekana unatabia nzuri sana.moyo mzuri. please don't change!
Wee mtoto mzuri sana, ndo mana mijitu mingine wivu hadi makwapani..
dadaako
mtoto una mguuu no KIMBWISIIIIIIIIIIIIIIII
Looooh!My Diva hana roho ya ndala huyooo dat iz TK bwana ,Wajua roho ya ndala wewe babeee wa Hollywood aka Mamtoni kumbe anakukubali uko juuu Mammtoni hahahahhaha TK hata TZ Mamtoni just a joke oky .....ka sweet six nyonyo saa 6 mguu unalipa hauna kona kama spring za bike.......
Umpendeza sanaaaaaaaaaa love the tow of u mpo natural kabsia nawapendeni.
mdau Holland
miss vimbwisi angupata huo mguu
tungekufa hahaha
na mumewe angekuwa mzuri tungeshaaa
acha tu alilie kuolewa na mzungu ili asizae kinyani tena
mama mwajuma ndala ndefu a.k.a kafie mbele a.k.a vimbwisiiiiiiiiiii
Kwi kwi kwi,mboni mambo hiyo kali ya miguu kupinda kaa spring za baiskeli, watapiga debe sana, keep working on your dream gal.
wao yawashinda huyo BI kidevu wa manchest', kwanza kadampiwa na sokwe mtu wake wa ufaransa, kutwa kutuma vicoment kwenye liblog lao la manzese,umpandie ndege nani? Kajifunze kuoga hovyoooo, ushoga wa social network huo, kukurupuka tu, vimbwisiii anawavutia time.kwikwi
tk hujazaa bado unamuita mtoto wa mwenzio nyani?huyo mtoto ana baba yake na dnugu zake huoni unatengeneza beef na frank machozi sasa?mjina sana wewe
mmh sasa naona nikuanza kutukaniana baba zenu na mama zenu waliokufa
wewe anony unaesema tk kamuita mtoto wa watu nyani kwani yeye ndio anaecomment humu?acha upuuzi wewe!ni wadau ndio wanaocomment..this is the price that miss vimbwisi na haters wengine wote have to pay kwa kututukania dada yetu na bado.Najua yamemchoma sana tu/
..they reeally have to pay kwa kweli ,
alivyomtukana TK na ndugu yake kwani yeye haijamuumaa???
au TK ana moyo wa chuma??
Au ndo ukweli unauma??
tena unamuuma sana sababu alimzushia mwenzie ni uongo na uzushi mtupu
mi simpendi kwa uongo uongo sijui kasoma nini .. usikute alikuwa anadesa sana chuo kikuu no wonder computer science ilimshinda
mfyonyoooooooo
...mbavuuuuuuuuuuu
na hii kama hajaandika manjano au kidefu au vimbwisi mwenyewe..
Hongera mdogo wangu TK... jamani wabongo wasione mwenzao anapiga hatua viroho vinawauma kweli. Ndio maana mie toka niondeoke Dar es salaam late 1980s sijarudi tena. Wabongo nuksi kweli
Girl..you just dont know how much Iam in love with Range Rovers.. they are my alltime Favorite cars too..
Post a Comment