pole sana mfiwa. inauma saana mtu unapoondokewa na kipenzi cha moyo wako:-( lakini ni vitu 2 tu tunavyovijua for sure hapa duniani. 1.KUZALIWA 2.KUFA. na hatuwezi kupingana navyo, ni kumshukuru Mungu kwani yeye alimpenda zaidi. Mungu azilaze roho za marehem wote mahali pema peponi( mama na baba yangu:() mdau rose/isabelle
1 maoni / comments:
pole sana mfiwa.
inauma saana mtu unapoondokewa na kipenzi cha moyo wako:-(
lakini ni vitu 2 tu tunavyovijua for sure hapa duniani.
1.KUZALIWA
2.KUFA.
na hatuwezi kupingana navyo, ni kumshukuru Mungu kwani yeye alimpenda zaidi.
Mungu azilaze roho za marehem wote mahali pema peponi( mama na baba yangu:()
mdau
rose/isabelle
Post a Comment