Style ya jinsi chakavu "Double Denim" yarudi kwa kasi.Kama mtu sio mfuatiliaji fashion mzuri unaweza sema kivazi cha mtu aliyechoka kimaisha. Lakini kimevaliwa na Super model Heidi Klum, model mwenye pesa zake. Sasa sijui utasemaje!?...lol
Ni Double Denim baybeeee...tha' 80's!! Kanye nae amekuwa akizivaa sana toka mwaka 09 uwanze.
0 maoni / comments:
Post a Comment