nilikuwa naangalia ma-first lady wa nchi nyingine mmmh.. jamani mama Salma ni mlimbwende..
Ni mrembo kweli kweli, mi nilipomuona live niliduwaa. She's very pretty and young.
Jamani TK huyo dada mwenye nguo ya red, kichwani ni wigi au weaving kashonea nimelipenda linamkaa vizuri. Naweza kulipata kwa bei yoyote? Nipo serious usifikiri utani.
Tk kwani ungepiga vigelegele ingekuwaje? ungefatwa na police au? nisadie mpz wanguGrace-dar
Post a Comment
4 maoni / comments:
nilikuwa naangalia ma-first lady wa nchi nyingine mmmh.. jamani mama Salma ni mlimbwende..
Ni mrembo kweli kweli, mi nilipomuona live niliduwaa. She's very pretty and young.
Jamani TK huyo dada mwenye nguo ya red, kichwani ni wigi au weaving kashonea nimelipenda linamkaa vizuri. Naweza kulipata kwa bei yoyote? Nipo serious usifikiri utani.
Tk kwani ungepiga vigelegele ingekuwaje? ungefatwa na police au? nisadie mpz wangu
Grace-dar
Post a Comment