



Bila shaka mnaweza kumuona jinsi alivyopendeza!... Sioni utofauti kubwa baada na kabla ya kuwa na mtoto!...Kama kazidi kuwa mrembo vile!?!...:)
Pichani: Picha kutoka ndani ya Jarida hilo akiwa amevalia vivazi moja kwa moja kutoka kwenye runway. Blumarine Spring 2009, Christian Dior Spring 2009, Fendi Spring 2009 collection, na Calvin Klein Pre-Fall 2009. Si mchezo!!
Source:Fashionjunkii/ Bazaar
0 maoni / comments:
Post a Comment