
Wabunifu wadogo walioamua kutangaza injili kupitia kazi yao. Check out their jeans at www.absolutruth.com!
Haya ni maadiko yanaoonekana pichani kwenye jeans za chini:
Mithali 10:24 Kile anachoogopa mwovu ndicho kitakachompata, kile anachoonea shauku mwenye haki atapewa.
Mithali 11:2 Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu, bali unyenyekevu huja na hekima.
Mithali 11:30 Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima, naye mwenye hekima huvuta roho za watu.



Happy Sunday!
0 maoni / comments:
Post a Comment