Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Sunday, December 30, 2007

...Cynthia Heading to Hollywood!


Cynthia Masasi ni mwanamitindo mtanzania ambaye anatikisa inchini marekani, kwa urembo na makeke yake. Mbali na hapo ni msichana ambaye amekuwa akichuana vikali na wanadada wa jamii ya kiafrika Amerika kwa kupata madili ya maana kama kutokea kwenye music videos, magazine mbalimbali, run way etc. Mwanadada huyo mwenye bidii ya kazi amefanikiwa kufungua duka la nguo mjini Mwanza inchini Tanzania, ambazo baadhi zimebuniwa naye. Kwa habari nyepesi nyepesi ni kwamba kwa sasa anasomea kuigiza na muda si mrefu tutaanza kumuona kwenye movie. Lol

Saturday, December 29, 2007

...From Bongo to Toronto!



Kama mnamkumbuka mwanadada Leila Ibrahim, mrembo ambaye hafagilii maringo. Ni mmoja kati ya watangazaji waliokuwa na umri mdogo katika television ya ITV. Pia katika uchunguzi uliofanywa na blog hii, inasemekana kuwa ni msichana pekee wa kiafrika mwenye nywele ndefu kuliko waafrika wote duniani. "Unabisha"?... Kwa sasa amehamisha makazi yake Toronto, inchini Canada. Bado yuko gado, na anawatakia heri ya mwaka mpya!

Nipishe nipite, sasa ni zamu yangu!

















Teddy Kalonga "Total Knockout" ...Ujumbe kutoka "MIMI magazine". Ushirikiano wao unaonyesha ni jinsi gani wanajali na kugunduwa kazi za watu hususani wakina dada wenye vipaji. Ni ukweli kwamba wamenivutia. Kwa mchango wako zaidi ingia kwenye tovuti ya MIMI Magazine pia blog yao ... husisahau kuacha maoni au kwa lugha ya wenzetu (comments)... Ahsante kwa mchango wako!!!


Attention!!


Whats up everybody?

Its been almost a year since you & I spoke and shared many things involving beauty, music, etc.

But now through my Total-Knockout blog, I have another chance to show you what I've got...and all I need from you is just attention!

This is...



What I've got, lil'mama!

Total Knockout Search!!

Custom Search